Monday, 25 July 2016

VITU VINNE VITAKAVYOFANYA BIASHARA YAKO ITHAMINIWE

Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wafanyabiashara kuhusiana na wateja kudharau biashara zao au hata kutopata wateja wanaothamini biashara zao. Hii inatokana na sababu kadhaa ambazo huenda zikawa upande wa mfanyabishara au hata mteja mwenye pia. Kuna mambo kadhaa ambayomfanya biashara anatakiwa kuyafanya ili kuifanya biashara yake kuwa na...
Soma Zaidi »

Friday, 22 July 2016

MAMBO 16 YA KUFANYA KWENYE UJANA

Amesema mtume Muhammad (Rah’ma na amani) kuwa hatoinua mja mguu wake siku ya Qiyama mpaka aulizwe juu ya mambo manne. Moja ya mambo hayo ni kuhusiana na ujana ambapo mja ataulizwa “Ujana wake aliutumia vipi.” Wengi wetu tumefanya ujana ni umri wa mtu kujiachia na kufanya majambo ambayo hayana msingi kwenye maisha yetu ya Duniani na hata Akhera...
Soma Zaidi »

Thursday, 30 June 2016

IJUE ZAKAATUL - FITRI

·        Maana Ya Zakatul - Fitri Zakatul - Fitri ni zaka au sadaka ya lazima inayotolewa baada ya kumalizika Ramadhani, na kuingia tarehe mosi ya mwezi Shawwali (Mfungo Mosi). Imeitwa Zakatul – Fitri kwa sababu ni Zaka inayotolewa baada ya kufuturu (kumaliza Wajibu wa kufunga Ramadhani). Imepokewa kutoka...
Soma Zaidi »

Wednesday, 29 June 2016

GESI YAGUNDULIKA TANZANIA

GESI ya helium ya takribani futi za ujazo bilioni 54 inayoelezwa kuwa adimu duniani, imegundulika nchini Tanzania na kuiweka nchi kuwa miongoni mwa mataifa machache yenye madini mengi na muhimu. Wagunduzi wa gesi hiyo ni watafiti kutoka vyuo vikuu viwili nchini Uingereza vya Oxford na Durham kwa kushirikiana na wataalamu wa madini kutoka nchini...
Soma Zaidi »

Monday, 16 May 2016

MKUTANO MKUBWA WA KIMATAIFA KUHUSU MIFUMO YA KIFEDHA YA KIISLAMU

Al-Huda Center of Islamic Banking & Economics (CIBE) ni taasisi inayojihusisha na utoaji elimu na mafunzo juu ya masuala ya Kibenki na Kifedha kwa utaratibu wa kiislamu duniani kote. Kuelekea katika harakati za kutimiza malengo yake, taasisi hii imeandaa mkutano mkubwa unaokwenda kwa jina la "3rd African Islamic Finance Summit " utakaofanyika...
Soma Zaidi »

KIWANDA CHA SUKARI MANYARA CHATAKA MIWA ZAIDI

KIWANDA cha Sukari cha Manyara (Manyara Sugar) kilichopo katika kijiji cha Matufa wilayani Babati mkoani Manyara, kimeiomba Halmashauri ya Wilaya ya Babati kusaidia kuwaelimisha na kuwahamasisha wakulima kulima miwa kwa wingi kuongeza uzalishaji wa sukari nchini. Meneja wa kiwanda hicho, Pratap Disodya aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa kiwanda...
Soma Zaidi »

Saturday, 14 May 2016

HATUA 11 KUELEKEA UJASIRIAMALI WENYE MAFANIKIO

Imeandikwa katika Historia kuwa, wafanyabiashara wakubwa katika zama zilizopita hasa kwenye ukanda wa Mashariki ya kati ya dunia (Middle East) walikuwa ni Waislamu. Wao walizifanya shughuli zao za kiujasriamali kama Ibada na ni moja ya njia za kueneza dini na kutengeneza jamii yenye tabia njema iliyojaa uaminifu na uadilifu pia. Waliweza kufikia...
Soma Zaidi »